TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 28, 2016

MWANAFUNZI ABAKWA HADI KUZIMIA, MBAKAJI AKUTWA NA SHAHADA MBILI ZA KUPIGIA KURA, WANANCHI WALIOMBA JESHI LA POLIS KANDA MAALUM LIFANYE MSAKO MKALI KWA MTUHUMIWA HUYO ALIYEKIMBIA NA KUACHA NDALA. MASKANIBONGOTZ

 Mama mzazi wa binti huyo aliyebakwa hadi kuzimia akilia kwa uchungu
  Mwandishi wa habari za uchunguzi na watoto toka E-fm Radio Bw Livingstone Mkoi akimuhoji mama huyo na kuelezea jinsi tukio hilo lilivyomshtua kiasi cha presha yake kupanda hadi kulazwa Hosptal ya Mwananyamala
  Hili ni dela ambalo msichna huyo mwenye umri wa mika 14 alikuwa amelizaa siku ya tukio kabla ya kubakwa, na hizo ni damu zilizotokana kubakwa.
  Mwenyekiti wa Taasisi ya WAJIKI " Wanawake Katika Jitihada za Maendelea" Janeth Mawinza akizungumza na Mwandishi Livingstone haonekani pichani, ambapo taasisi hiyo imelani vikal tukio hilo na kuliomba Jeshi la Polisi ikibidi Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr John Pombe Magufuli kusaidia suala hili.
  Baba mkubwa wa binti huyo akionesha dela hilo lilivyotapakaa damu



  Mwanafunzi wa kitado cha tatu, Jina lake na shule anayosoma vinahifadhiwa kwa ajili ya maadili, akizungumza na mwandishi Livingstone Mkoi pembeni na kueleza jinsi alivyochungulia kifo.
  Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar Kamanda
Simon Sirro ameombwa na wananchi kuunda timu maalum kwa ajiri ya kuchunguza tukio hilo la kubakwa mwanafunzi huyo, huku mtuhumiwa akiwa na vitambulisho viwili vya kupigia kura, huku mtuhumiwa huyo akidaiwa kujihusisha na mambo ya kiharifu sehemu mbalimbali ikiwemo Mombasa nchini Kenya.
Rais Mgufuli, wananchi wameomba kutia mkono wake kwenye sakata hilo la mtuhumiwa huyo kukutwa na shahada mbili za kupigia kura.
 RC Makonda

 Hizi ndiyo shahada 2. za kupigia kura zilizokutwa chumbani kwa mtuhumiwa maeneo ya Mwananyamala Mchangani Jijini Dar hivi karibuni

Na Mwandishi wa Maskanibongotz
Katika hali ya kushtua mwanafunzi wa kidato cha tatu kwenye shule moja iliyopo Temeke Jijini Dar jina linahifadhiwa amenusa umauti baada ya kubakwa na kuchanwa vibaya na kumsababishia maumivu makali.
Tukio hilo lililotoke maeneo ya Mwananyamla Mchangani Jijini Dar na kulipotiwa kituo cha Polisi CCM Mwinyijuma na kupewa kumbukumbu hizi MW/RB/148/2016, na kuwaacha wananchi midomo wazi na majonzi baada ya mtuhumiwa huyo pia kukutwa na shahada mbili za kupigia kura zenye jina lake moja.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni, ambapo kwa mujibu wa wanafamilia wa mwanafunzi huyo walisema kuwa kijana huyo ambae alikuwa anajihusisha biashara ya duka na kutoa na kuweka pesa, ambapo alianza kumdanganya binti huyo kwa kumnunulia chipsi kuku pamoja na kumpa pesa zaidi ya zile alizokuwa anapewa na  wazazi wake.
Hali hiyo ya jemba hilo kumuhadahaa binti ilidumu kwa kipindi kirefu na kufanikiwa kumshawishi bint huyo kwenda chumbani kwake maeneo hayo hayo ya Mwananyamala Mchangani.
Akiongea na mwandishi wa maskanibongotz binti mwenyewe alisema kuwa siku ya tukio kijana huyo alimwambie aende chumbani kwake usiku kwani ana mazungumzo muhimu sana ndipo alipokwenda na kumkuta ya kumkuta.
Msichana huyo akiongea kwa uchungu mara baada ya kutoka Hospital alikolazwa zaidi ya wiki moja.
Msichana huyo alisema" Mara baada ya kufika chumbani kwake alianza kunibaka kwa nguvu licha ya kupiga kelele lakini sikupata msaada na dakika chache baadae nilianza kusikia maumivu makali pamoja na damu nyingi kunitoka na nilijitizama vizuri kumbe nilikuwa nimeshachanika upande wa chini na juu wa maumbile yangu" Alisema msichana huyo huku machozi yakimtoka
Baada ya kuona hali mbaya za binti huyo ambae sasa wakati huo alikuwa anatoka mapande ya damu kama yanavyoonekana pichani alimruhusu aondoke kwa vile nyumbani kwao hapakuwa mbali lakini cha kusikitisha njia nzima damu ilikuwa ikimmwagika.
Hata hivyo alipofika nyumbani binti alizidiwa na kudondoka wazazi wake walipomkaugua ndipo walipogundua kama mtoto wao amebakwa na haraka walikwenda kituo cha polisi CCM Mwinyijuma na kutoa taarifa juu ya tukio hilo na alipewa pf3 na kukimbizwa Hospital huku askari wengine wakienda nyumbani kwa mtuhumiwa lakini kwa bahati mbaya walimkuta amekimbia na kuacha kila kitu chumbani kwake vikiwemo vitambulisho viwili vya kupigia kura vyenye jina  lake.
Sakata hili la kubakwa mwanafunzi huyu linakwenda kwa kusua sua sana kiasi cha familia ya msichana huyo kumuomba Rais John Pombe Mgufuli au Waziri Mkuu kuwasaidia kwa kile walichodai Polisi kuna mambo mengi sana isitoshe Mama wa mtuhumiwa amefunga safari toka Mombasa na kufika kituo cha Polisi Osterbay na kudaiwa kuweka mipango sawa.
Aidha wananchi wameliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum kulichukulia kwa usiliasi hili jambo lwa mtuhumiwa huyu kukutwa na shahada mbili za kupigia Kura je alizipataje na kisha litoa majibu kwa wananchi.
Maskanibongotz ilifanya mawasiliano na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni na kutaka kufahamu kama taarifa za tukio hili zipo mezani kwake tayari ama laa, kwa bahati mbaya simu yake iliita bila kupokelewa.
Credit: maskanibongotz

Friday, March 25, 2016

DOKATA KAMGEDE MGANGA WA MASTAA AELEZA SIRI NZITO ZA MWANAMUZIKI DIAMOND NA MAMAAKE, USHIRIKINA WATAJWA KUDIDIMIZA MAISHA YA WATU..!


  MWANAMUZIKI DIAMOND AKIWA NA MAAKE MZAZI

  MTAALAM WA TIBA ZA ASILI TANZANIA ANAETAMBULIWA NA CHAMA CHA WAGANGA WA ASILI TANZANIA DOKTA KAMDEGE AKIWA OFISINI KWAKE TABORA WILAYA YA SIKONDE KIJIJI CHA UKANGA

 Na Mwandsihi Wetu -Tabora
Mganga maarufu nchini Tanzania na Duania kwa ujumla Dokta Kamdege ambae ni mtaalamu wa miti shamba ametoa siri nzito za ukaribu wa Mwanamuziki Diamond na Mamaake.
Mganga huyo toka Tabora ambae amekuwa akiumiza vichwa wazungu kwa tiba zinazotokana na miti shamba na ya asili ameongea na mwandishi wa gazeti la Maskani Bongo hivi karibuni na kueleza sababu kubwa ya mwanamuziki huyo nyota kuwa karibu na Mamaake alisema" Unajua yanaweza kuzungumzwa mengi juu ya huyu kijana wangu Diamond na jinsi anavyoonesha upendo wa dhati kwa mamaake hii ndiyo njia pekee inayompa baraka za mafanikio Diamond kwani Mama mzazi ni sehemu ya kwanza ya mafanikio katika maisha ya mwanadamu" Alisema
Aidha mganga huyo ambae amewahi kukaririwa na vyombo vya habari kuwa amechangia kumtoa mwanamuziki huyo kwa kumjaria kwa kutumia miti shamba aliongeza kusema kwa sasa mwanamuziki wake huyo ataendelea kuwa juu kutokana na radhi njema ya mamaake.
Dokta Kamdege ambae ameendelea kuweka rekodi kwa miti shamba zake anazotibu watu magonjwa mbalimbali lakini pia na kuwatengenezea watu njia za maisha baada ya kuharibiwa na wabaya, akielezea matukio mbalimbali yanayopelekea watu kushindwa kuendelea kwenye maisha alisema " Unajua kila binadamu na imani yake lakini mtu kama hajafikwa na majanga basi hawezi kuamini kama duniani kuna uchawi.
,Kamdege aliendelea kusema "Binadamu ni wabaya sana wanaharibia wenzao maisha makusudi, watu wamesoma lakini wanashindwa kupata  au kupandishwa vyeo, watu wanapandikizwa mikosi ya kila aina ili amradi wasipate maendeleo hivyo kama mtu ukigundua hali hiyo usikae kimya basi wahi ofisini kwake ukafunguliwe njia kwa kupewa zindiko maalum ambapo mtu mmbaya akijaribu kukugusa kwa nguvu za giza basi ataumbuka live" Alisema Kamdege
Mganga huyo alimaliza kusema uchawi upo na hata kwenye biblia au vitabu vingine vya mungu umetajwa na bado watu wanautumia kwa kuharibu maisha ya wengine hivyo kwa vile mungu amempa kalama yeye ya kujua miti shamba ya kutatua tatizo hilo basi ni vyema watu waendelee kufika kwake ili waweke sawa mambo yao kwa vile shetani nae anafanya kazi masaa yote kama walivyo wao hivyo ni lazima wawahi kupata tiba
Namba zake kwa yeyote mahara alipo Duniani basi awasiliane nae kwa namba hizi  0763-146231 au 0788-844490 na watasaidiwa kwani fitina zimetawala sana miongoni mwa jamii.

Wednesday, March 23, 2016

DOKTA KAMDEGE AFANYA BALAA NCHINI KENYA, BURUNDI,WABUNGE, MAWAZIRI WA SERIKALI WAPIGANA VIKUMBO KUPATA MITI SHAMBA, SASA AREJEA TANZANIA NA KUTOA UWITO MZITO..!

 Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
  Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
 Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
Na Mwandishi Wetu
Yule mganga maarufu nchini Tanzania mwenye kutambuliwa na chama cha waganga wa tiba za asili Tanzania Dokta Kamdege hatimae amelejea nchini Tanzania baada ya ziara ndefu nchi za nje.
Akiongea na gazeti hili Dokta Kamdege amesema kwa kipindi chote hicho alikuwa nchini Kenya na Burundi kwa ajiri ya kuwasaidia watu walikumbwa na matatizo ya nguvu za gizo ambapo ziara yake ilikuwa na mafanikio sana kwani hadi viongozi wakubwa wa Serikali walifika kumuona kwa ajiri ya kupata msaada.
Dokta huyo aliongeza kusema " Ndugu mwandishi ujue dunia imetawaliwa na nguvu za giza hivyo watu wengi wamefungwa kwenye maendeleo watu wamesoma, wanafanya kazi lakini maendeleo hamna wajanja wanakuwa wamewazunguka kwa nguvu za giza" Alisema Dokta Kamdege
Mganga huyo aliongeza kusema  matatizo hayo ya wananchi kuzibiwa ridhiki zao, kupewa mikosi, kushindwa kupandishwa vyeo licha ya elimu walizokuwa nazo na mara nyingi matatizo hayo yote yanamalizwa na dawa za miti samba kwa kusafishwa  na kupewa zindiko maalum litakalokusaidia maishani mwako kwenye majukumu ya kutafuta ridhiki.
Kamdege kwa sasa amesharejea mkoani kwake Wilaya ya Sikonge Kijiji cha Ukanga Mkoani Tabora na atakuwa hapa Tanzania kwa miezi mitatu hadi mwezi wa sita hivyo kwa mtanzania yeyote mwenye dalili za kuzibiwa ridhi, kuwa na mikosi, kushindwa kupata kazi, kushindwa kupata watoto, kushikwa na ganzi nk wacheki nae kwa namba 0763-146231 au 0788-844490 na watasaidiwa kwani fitina zimetawala sana miongoni mwa jamii.

Thursday, March 17, 2016

HATARI KUBWA, MAELFU YA WAUMINI WAZIDI KUMIMINIKA KWA MCHUNGAJI MWENYE NGUVU ZA AJABU ILI KUPATA UPONYAJI, WATU WATAHADHARISHWA ...!

 Mamia ya waumini ambao wamekuwa wakimiminika kwenye Kanisa la Hossana  lililopo Nyakasangwe mtaa wa Wazo kwa ajiri ya kupata uponyaji wa kweli chini ya mchungaji Kiongozi Mch Mzola.
 Mch Mzola
 Mmoja wa watu aliyekuwa kichaa kabisa toka Mkoa wa Dodoma ambae alipokea uponyaji toka kwa mchungaji Mzola ambao kwa sasa ni mzima kanisa huku familia ya kijana huyo ilimkabidhi mtu huyo kwa ajiri ya kuendelea na dozi
 Watu wamekuwa na furaha sana pindi wanapokuwa kwenye ibada ndani ya Kanisa la Hossana "Ngome ya Yesu".
Na Mwandishi Wetu
Hali si shwari kwenye Kanisa la Hossana "Ngome ya Yesu" Lililopo Nyakasangwe  mtaa wa Wazo linaloongozwa na Mch Mzola kufuatia umati mkubwa wa watu kumiminika kwenye Kanisa hilo kwa ajiri ya kupata  uponyaji wa kweli.
Mchungaji huyo amekuwa akitumiwa na  Mungu kuponya watu kiasi cha kushangaza wengi huku watu wakipona papo kwa hapo kwa maombi.
Mchungaji huyo ambae ni mzaliwa wa Mkoa wa Dodoma amekuwa na karama kubwa mbele za Mungu aliye hai huku amekuwa mchungaji pekee ambae muda wote amekuwa karibu na mungu kwa kuomba na kusari hali inayomfanya awe na nguvu za uponyaji wa papo kwa hapo.
Hata hivyo mchungaji huyo ameendelea kuwasihi watanzania popote walipo Duniani waendelee kupokea miujiza ya Mungu kwa kupokea uponyaji ambao ni bure kabisa badala ya watu kukimbilia kwa waganga ambako wanatoa pesa nyingi bila mafanikio.
Hivyo aliendelea kuwaasa watu wafike wapate uponyaji, kwani Kwa Mungu hakuna lisilowezekana, kila magonjwa yote sugu, ugumba, utasa, mikosi ya kushindwa kuolewa/kuona, kuwa na mashaka, hofu ya kifo nk.Na amesema wataoshindwa kufika kanisani kwake Kata ya Wazo mtaa  Nyakasangwe wanaweza kumpigia simu kupitia namba hizi 0763-161785/ 0713-161785 na wao watapokea uponyaji huko walipo.
NB: Wakati huo watu wametahadharishwa  kuacha tabia ya kuwashambulia watumishi wa Mungu kwa kuwasemea vibaya kwani watumishi ni mawakala wa Mungu Duniani kwenye huduma za kiroho.


Sunday, March 13, 2016

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 13. 2016, YANGA HII HAIJAWAHI TOKEA, MASHABIKI WA SIMBA A.K.A WA MATOPENI WASHKWA NA BUTWAA WASEMA YANGA IMESHINDIKANA UBABE NDANI NA NJE..!

20160313_065816
20160313_065843
20160313_065939
20160313_065950
20160313_070006

TUZO YA LULU YAZUSHA KIZAAZAA, VICTORIA LUOGA, MANAIKI SANGA WAMSHUKIA MSANII HUYO KWA TUZO HIYO, ANGALIA HAPA...!

 Msanii Chipukizi kwenye kiwanda cha Filamu Tanzania Victoria Luoga, ambae amempongeza msanii Lulu Michael kwa kupata tuzo lakini pia kuitangaza nchi yetu Kimataifa

 Msanii Manaiki Sanga nae pia ametoa pongezi kwa msanii Lulu kwa kuitangaza nchi Kimataifa
Filamu ya Msanii Lulu iliyompatia Tuzo.
Na Mwandishi Wetu.
Msanii chipukizi kwenye Filamu za Kitanzania ambae pia ni mjasiriamali Victoria Luoga amempongeza msanii Lulu kwa kutwaa Tuzo la Filamu Bora Afrika Mashariki na Kati nchini Nigeria wiki iliyopita.
Victoria ambae pia mfanyabiashara lakini pia msanii anaechipukia huku akiwa ameshiriki filamu mbalimbali zinazosumbua sokono ikiwemo ya Wake Up ya msanii Manaiki Sanga ambapo ndani ya filamu hiyo ameonesha kipaji cha hali ya juu kiasi cha kuwashtua mastaa.
Aidha filamu nyingine ambayo itatoka hivi karibuni ya Kivuri Changu ambapo Victoria amecheza kama staa wa filamu hiyo iliyowashirikisha mastaa wengi akiwemo msanii wa Komedi Chili.

Wednesday, March 9, 2016

TIZAMA MAAJABU YA MUNGU KUPITIA MTUMISHI WAKE WA MUNGU, WENYE VICHAA, WALEMAVU, UGONJWA WATOA USHUHUDA JINSI MAOMBI YA MCHUNGAJI HUYO YALIVYOWAPONYESHA..!

 Mch: Mzola akiwa na watu waliokuwa vichaa kabisa huko Mitaani huku wakila wadudu  akiwa kwenye picha ya pamoja huku wakiendelea na Dozi kwenye Kanisa la Hosana "Ngome ya Yesu" Huko Wazo Nyakasangwe Jumapili iliyopita
 
 Haruni Chinamata toka Dodoma akiwa na barua ya familia kupitia Mtendaji wa Kata ya Miyuji Dodoma mara baada ya kupata uponyaji wa maombi ya Mch Mzola wa Kanisa la  Hosana " Ngome ya Yesu"
 Hii ni moja ya silaha za kichawi yenye uwezo wa kuuwa binadamu, lakini pia hutumika kama usafiri wa kichawi, vifaa hivyo vilisalimishwa na dada mmoja aliyepokea uponyaji Mkoani Dodoma

Mchungaji Mzola akiwa na mwandishi wa habari za uchunguzi toka E-fm Radio Bw Livingstone Mkoi, akimuonesha maji yaliyotoka kwenye bwawa ambalo wachawi huwa wanafanyia bunge lao.
Na Mwandishi Wetu
Yule mchungaji kiboko ya wachawi nchini Tanzania Mch Mzola wa Kanisa la Hosana Ngome ya Yesu Msigani mtaa wa Nyakasangwe kata ya Wazo Mungu ameendelea kumtumia kwa kuwaponya vichaa, wenye maradhi sugu kama Ukimwi na nk kiasi cha kuwafanya watu kupigwa na butwaa .
Safari hii mchungaji huyo amezusha balaa kubwa Mkoani Dodoma kiasi cha kuhatarisha amani mara baada  kutua mkoani humo na kukabidhiwa kichaa ambae alikuwa anakula vyura, wadudu, majini ambae alipata dozi ya papo kwa hapo na akapona.
Mchungaji huyo aliongeza kusema kuwa anaendelea kutoa uwito kwa watanzania wote kuendelea kufika Kanisani kwake ili wapate uponyaji, kwani Kwa Mungu hakuna lisilowezekana, kila magonjwa yote sugu, ugumba, utasa, mikosi ya kushindwa kuolewa/kuona, kuwa na mashaka, hofu ya kifo nk.
Na amesema watkaoshindwa kufika kanisani kwake Kata ya Wazo mtaa  Nyakasangwe wanaweza kumpigia simu kupitia namba hizi 0763-161785/ 0713-161785 na wao watapokea uponyaji huko walipo.