TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, February 4, 2016

MUNGU AZIDI KUONESHA MAAJABU YAKE NDANI YA KANISA LA MCHUNGAJI MWENYE NGUVU YA KIPEKEE, MAMIA YA WATU WAZIDI KUMIMINIKA , WAGONJWA WA UKIMWI, WASIOPATA WATOTO SASA WABEBA MIMBA, NI MAMBO YA KUSHANGAZA KWELI..!

Hivi ndivyo hali ilivyo kwenye Kanisa la Sayuni lililopo Nyakasangwe Kata ya Wazo, ambapo kutokana na uponyaji wa kweli unatendeka Kanisani hapo mamia kwa mamia ya watu wamekuwa wakimiminika kwa wingi ili kupata uponyaji wa kweli. Mchungaji Mkuu wa Kanisa hilo Mzola ameendelea kuwataka watanzania kuendelea kufika Kanisani hapo kwa ajiri ya kupata uponyaji wa papo kwa hapo.


Mrs Mzola akiwa kwenye ibada

Ndani ya Kanisa hilo uponyaji hufanyika wa papo kwa hapo bure bila malipo

 Mchungaji Mzola

Na Mwandishi wa Maskanibongotz
Katika hali ya kushtua baada ya kuvuja kwa taarifa za Kanisa linalotibu mardhi ya aina yote huku Mungu akimtumia mtumishi wake Mch Mazola kufanya hayo yote  maelfu ya watu wameendelea kumiminika Kanisani hapo kiasi cha kukosekana nafasi ya kukaa kwa ajiri ya kupata uponyaji wa bure.
Mchungaji huyo akiongea na gazeti la Maskani Bongo alisema" Kiukweli tunamshukuru Mungu Muumba mbingu na ardhi kwa baraka zake toka habari ziwafikie watu wake basi wamekuwa wakimiminika usiku na mchanga kuja kupata uponyaji wa kweli" Alisema mchungaji huyo
Mchungaji huyo aliongeza kusema kuwa anaendelea kutoa uwito kwa watanzania wote kuendelea kufika Kanisani kwake ili wapate uponyaji, kwani Kwa Mungu hakuna lisilowezekana, kila magonjwa yote sugu, ugumba, utasa, mikosi ya kushindwa kuolewa/kuona, kuwa na mashaka, hofu ya kifo nk.
Na amesema watkaoshindwa kufika kanisani kwake Kata ya Wazo mtaa  Nyakasangwe wanaweza kumpigia simu kupitia namba hizi 0763-161785/ 0713-161785 na wao watapokea uponyaji huko walipo.

No comments:

Post a Comment