TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, January 28, 2016

AFANDE MACHEMBA AWATOA MACHOZI KWA UCHUNGU WAKAZI WA KANDA YA ZIWA, WASEMA KIPAJI ANACHOKIONESHA WANAKUMBUKA MAREHEMU STEVEN KANUMBA ALIVYOWEZA KUITANGAZA NCHI KIMATAIFA..!

 Afande Machemba katika ubora wake akiwa kwenye picha ya pozi dakika chache kabla ya kuingia Location kukamua kwenye moja ya filamu alizoshirkishwa hivi karibuni huko Mkoani Arusha mara baada ya kupokea mwaliko toka kwa wasanii wa huko wakimtaka akacheze filamu.
  Afande Machemba
 Marehemu Steven Kanumba ambae ni kabila moja na Afande Machemba wote ni Wasukuma.
Na Mwandishi Wetu-Mwanza
Msanii Kinda toka kiwanda cha filamu za Kitanzania Joseph Machemba ameendelea kuwa gumzo nchini na safari hii mashabiki wa filamu toka Kanda ya Ziwa wamejikuta wakibubujikwa na machozi mara wanapoongalia filamu alizocheza msanii huyo toka Shinyanga ambae kwa sasa amehamishia makazi yake Jijini Dar huku wengi wakimfananisha na Marehemu Kanumba.
Mmoja wa wadau wa filamu Mkoani Mwanza aliyejitambulisha kwa jina la Majiha Mankunga alisema' Jamani tunamshukuru Mungu kwa kutupoza machungu tuliyoyapata miaka kadhaa iliyopita kwa kuturudishia mtu mwingine muhimu kwetu, huyu Afande Machemba hakika ni kama Kanumba amezaliwa upy" Alisema mtu huyo ammbae ni msambazaji wa filamu za kitanzania kanda ya ziwa
Msanii Joseph Machemba ambae kwa sasa anatamba kwenye filamu za Bifu la Kitongoji na Filamu ya AKIRI NYINGI ambazo ndani yake msanii huyo ameonesha uwezo wa ajabu kiasi cha kuwashangaza mastaa mbalimbali wa bongo movie kwa kipaji alichokuwa nacho Afande Machemba, Huku watanzania wengi wakimtakia kila raheli msanii huyo kwa juhudi zake

No comments:

Post a Comment