TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, December 1, 2015

KIBANO CHA RAIS MAGUFULI KWA WAKWEPA KODI: WAFANYABIASHARA WENGI SASA WAMKUMBUAKA RAIS JAKAYA , WENGI WADONDOSHA MACHOZI WASI WASI WATANDA HUENDA WAKAHAMA NCHI...!

 Rais wa awamu wa NNE Mh Jakaya Mrisho Kikwete, ambapo wafabiashara wengi kwa sasa wanamkumbuka kutokana na kibano wanachokipata sasa cha Serikali ya awamu ya Tano ya Mh Dokta Magufuli ambae amewatangazia kiama wakwepa kodi wote hadi sasa wengine wameanza kukimbia nchi kuhofia kutiwa mikononi kwa wale wote ambao walikuwa hawalipi kodi na kuisababishia hasara Serikali. maskanibongotz mzigoni
Wafanyabishara wengi ambao walikuwa wanafanya kazi kiujanja ujanja sasa hivi wanalia na kuikumbuka Serikali ya awamu ya nne.

Rais John Pombe Magufuli mzee wa hapa kazi akizungumza na simu ya kiganjani, ambapo amevunja rekodi kwa kipindi kifupi kwa kuokoa mamilioni ya shilingi kwa kukataa kufanya sherehe mbalimbali badala yake fedha hizo zimetumika kusaidiama maeneo mengine yenye uhitaji.
Huku watanzania wengi wakimpa Mungu utukufu kwa kuwapatia Rais waliyekuwa wanamuhitaji
mfanyabishara maarufu.
Source:maskanibongotz

No comments:

Post a Comment