TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, October 2, 2015

UKAWA WATIKISA JIJI LA DAR, WAPIGA MIKUTANI MITANO KWA SIKU MOJA, MAELFU YA WANANCHI WAPAGAWA NA SERA ZAKE, BODABODA WAPATA NAFUU YA MAISHA..!


.
.
Toka tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni Ukawa bado wameendelea kusogea sehemu mbali mbali za kuwafikia wananchi na leo Octoba 1, 2015 ilikuwa ni zamu ya wakazi wa jimbo la Kawe Dar es Salaam  katika uwanja wa Tanganyika Peakers Dar es Salaam.
Ni wajibu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hapa nimekuwekea picha za mkutano mtu wangu.
.
Mgombea Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa akiongea na wananchi wa jimbo la Kawe Dar es Salaam.
.
.
.
.
.
.
.
Mwanasheria Tundu Lissu akizungumza na wananchi leo Octoba 1, 2015.
.
.
.
Mbunge John Mnyika akizungumza na Wananchi.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia akizungumza na wananchi.
3X6A0041

.
Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema), Freeman Mbowe.
.
.
.
.
.
.
.
.
Unaweza uka bonyeza play kusikiliza kile kilichozunguzwa kwenye mkutano wa UKAWA jimbo la Kawe Octoba 1, 2015

No comments:

Post a Comment