TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, September 23, 2015

MWANAMUZIKI MUDY KIBERITY AMFANYIA UMAFIA WA KUTISHA DIAMOND PLATNUM, SIASA ZAMPONZA MASHABIKI WASAMBARATIKA WENGINE WAAPA KUTOKUWA SHABIKI WAKE TENA..!

Mwanamuziki Muddy Kiberity  wa bongo flava

Wimbo wa  Muddy Kiberity uitwao Kwanza Pesa MAPENZI BAADAE.

Mwanamuziki Diamond ambae kwa sasa amewagawa mashabiki wake baada ya kuonekana kuegemea upande mmoja wa chama flani na kupiga nae kampeni.
Na Mwndishi Wetu  
Mwanamuziki wa Bongo Flava aliyefahamika kwa jina la Muddy Kiberity amefanikiwa kuwanyakua mashabiki wote wa mwanamuziki Diamond baada ya kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa.
Wakionge na kwa nyakato tofauti mashabiki hao wamsema kuwa mwanamuziki Muddy anakipaji zaidi ya Diamond kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao wa kuimba huku sauti yake ikiwa balaa kwa mvuto.
Hata hivyo mwanamuziki huyo mwenyewe alisema kuwa amefurahishwa na mashabiki hao kukubari kwa vile ameweza kutoa wimbo uliokubarika huku akitamba mziki wake ni mzito kwa sasa Diamond asitie maguu ataumia.
Wimbo wa mpya wa mwanamuzki huyo Uitwao Kwanza Pesa Mapenzi Baadae umeanza kuchezwa kwa fujo kwenye vituo vyote vya radio kiasi cha kushika kwenye chati mbalimbali huku mashabiki wengi wakiuomba upigwe mara kwa mara kutokana na ubora wake 

No comments:

Post a Comment