TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, September 18, 2015

FILAMU YA GOING BONGO YAZIDI KUTISA DUNIA, WAINGEREZA WAPONGEZA MTANZANIA ERNEST NAPOLEON WASEMA TANZANIA INATAKIWA KUJIVUNIA KWA KIPAJI CHAKE..!-

 Staa wa filamu ya Going Bongo Ernest Napoleon akiwa pamoja na wasanii wengine..!
  Staa wa filamu ya Going Bongo Ernest Napoleon akifafanua jambo  kwenye mkutano na waandishi wa habari hwapo pichani..!
 Ernest Napoleon akiwa pamoja na wasanii wengine wa bongo movie










Filamu ya Going Bongo imeendelea kuwa gumzo duniani kote kutokana na kuigizwa kwa kiwango cha juu huku nchi ya Tanzania ikipata sifa kede kede kutokana na sinema hiyo kuigizwa na raia wa Tanzania aishie nchini,
Sinema hiyo wiki mbili zilizopita ilionshwa tena kwa mara ya pili nchini Uingereza katika mji mwingine na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu huku mabalozi toka nchi mbalimbali wakihudhuria kuishuhudia sinema hiyo matata ambayo kwa sasa inapatikana nchini.

No comments:

Post a Comment