TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 23, 2015

ARUSHA KWA WAKA MOTO MCHEZO WA RUGBY, WANAFUNZI ZAIDI YA MIA SITA WAJITOKEZA KUSHIRIKI MCHEZO HUO HATARI DUNIANI...!


Mchezo wa rugby uliendele kanda ya kaskazini ya Tanzania ikijumuisha mashule Nane kutoka mikoa Arusha Mjini Moshi na Monduri ambapo timu ziligawanyika kutokana na umri wa U9, U12, U14 ambapo kila group lilikuwa na timu 10 ambapo mpaka fainal timu za kutoka timu za Shule Mageleza walikuwa wa kwanza wapili walikuwa timu kutoka Meru wakiwa wapili na Makumbusho wakiwa washindi wa tatu Huu ulikuwa mwanzo wa kuwa kutanisha mashule yote pamoja ambayo yalijumuisha wanafunzi 600 toka Shule 8 Mwamko ni mkubwa sana Watoto wanaonyesha kuukubari mchezo wa raga upande wa kaskazini




No comments:

Post a Comment