TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, January 20, 2015

MR NICE AMSHUKURU DOKTA KAMDEGE KWA KUMRUDISHA KWENYE USTAA, ASEMA BILA YEYE HAKIKA ALIKUWA ANAPOTEA..!










Na Amina Abdul- Dodoma
Mwanamuziki aliyekuwa mfalme wa mtindo wa Tekeu nchini Lucas Mkenda Mr Nice ameibuka na kushukuru sana mganga wa mastaa nchini Dokta Kamdege kwa kumsafisha na sasa ameanza kurudi kwa kasi kubwa kileleni.
Akiongea na mtandao huu Mr Nice alisema kuwa binadamu si watu wema hata kidogo kwani walikuwa wamemchezea faulo kubwa sana katika maisha yake licha ya kwamba kuna mengine yeye mwenyewe alichezea maisha.
Mr Nice alisema kuwa dawa za Dokta Kamdege za miti shamba zimemuondoa nuksi na sasa angalau ameanza kuondokana na aibu iliyokuwa inamkuta" Kaka Dokta Kamdege sio masihara hizi miti shamba zake zimenisaidia wala sina haja ya kuficha jambo kwani wanaokwenda kwa mganga huyo ni wengi tu kama mimi hivyo kuficha jambo hilo si vyema" Alisema Mr Nice ambae alikuwa mume wa msanii Jini Kabula
Akiongea na mtandao huu toka Tabora Mganga huyo aliyejichukulia umaarufu mkubwa nchini na nje ya nchi kupitia simu namba
0788-844490 alisema" Huduma zangu si kwa mastaa tu peke yao na viongozi wetu wa vyama na Serikali hapana hata wananchi wa kawaida tu kwani matatizo si kwa viongozi au mastaa hata wewe ndugu mwandishi ukihitaji tunakupiga msasa mambo yanaenda sawa miti shamba haidanganyi" Alisema
Mganga huyo alisema mambo mbalimbali anayowasaidia watu ni pamoja kupata mtoto, kupunguza makali ya kesio, kupandishwa cheo ofisini, kuipa nguvu biashara yako iwe kubwa na ya kuvutia, kupata mke au mume kutoa ganzi za mikononi na miguuni kupandisha nyota zilizochezewa na wabaya hayo tote anayafanyakutumia miti shamba si kitu kingine.
0788-844490 Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win

No comments:

Post a Comment