TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, August 16, 2014

WANANCHAMA WA CCMA ZAIDI YA ELFU 200 WATISHIA KUJIENGUA KISA VIONGOZI WA CHAMA NGAZI ZA JUU KUWATELEKEZA HUKU WAKIWANYANYASIKA BILA MSAADA, ANGALIA HABARI HII YA KUSIKITISHA....!


 Abdulrahman Kinana
Nape Nnauye
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa kitongoji cha Nakasangwe mtaa wa madale kata ya Wazo ambao ni wanachama wa CCM wametishia kukihama chama hicho endapo uongozi wa CCM Kitaifa hawatawafika kwenye eneo hilo lenye mgogoro wa Ardhi kati ya mwenyezaji na wao.
Wakiongea na waandishi wa habari kituo cha E-FM RADIO hivi karibuni wananchi hao walisema kuwa CCM imewatelekeza bila msaada wowote licha kuwa na taarifa juu ya unyanyasaji wanaofanyiwa na viongozi wa Serikali wa Mkoa wanaodai kuwa anashirikiana na wawekezaji kuwapora ardhi yao.
Mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha Mama Jasmin alisema" Sisi tunaishi maisha magumu sana awali walikuja na kutuambia sisi si watanzania lakini uchaguzi uliopita tulipiga kura na baada ya hapo tena wakaja kutuvunjia nyumba zetu wakidai tumevamia eneo hilo lakini ukweli hii si haki hata kidogo tunawaomba viongozi wetu wa CCM Nape Nnauye na  Abdulrahman Kinana waje kutusikiliza pamoja na kutusaidia  la sivyo hakika tuko tayari kuhama chama" Alisema mama huyo
Kata hivyo imekuwa ngome ya CCM miaka mingi huku upinzani ukiwa hauna nguvu ambapo hata uchaguzi wa 2010 CCM ilijinyakulia kura nyingi, na ndio maana wananchi wa huko wahawajawah kumfuata mbunge wao Halima Mdee na kumlalamikia matatizo yao.

ANGALIA MAJIBU YA MWANAMUZIKI LADY JAY DEE KUHUSU ISHU YA KUACHANA NA MUMEWE GADNA, INASIKITISHA JAMANI USHAHIDI HUU HAPA...!

 
Baada ya tetesi kusambaa nchini ya kuwa Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee ameachana na mumewe Gadner G. Habash, Lady jay dee ameamua kutoa picha ya mkono wake wa kushoto ukiwa na pete kwenye kidole cha shahada ili kuudhibitishia umma ya kwamba hajaachana na mumewa.
Picha hiyo aliituma kwenye ukurasa wake wa
Facebook
na kuandika maneno yanayoshabihiana na picha hiyo japo wataalam wa mambo wamebaini ni njia ambayo ameitumia Komando kueleza umma juu ya Ndoa yake.
CREDIT' MASKANIBONGOTZ.BLOGSPOT.COM 

ZITAMBUE NAMBA HIZI ZA SIMU KWA UKOMBOZI WA MAISHA YAKO NA KITUO CHA E-FM RADIO ANGALIA HII...!

JE UNATUKIO LA UNYANYASAJI HAPO? IWE MTOTO, MAMA,BABA AU  UNYANYASAJI WA AINA YEYOTE BASI TAFADHALI WASILIANA NA TIMU YA WAANDISHI WETU WALIOBOBEA KWENYE HABARI ZA UCHUNGUZI NA UKATILI WA KIBINADAMU, HATA KAMA UNA TAARIFA ZA KIFISADI AMA KIHARIFU WEWE TUNYETISHE NASI TUTAIFATILIA KITAALAMU HABARI HIYO NA KUIANIKA HEWANI.
 PIGA SIMU NAMBA HIZI:
0713-575718,0767-575718. 0785575718, 0775,0575718 NA WAANDISHI WETU WATAFIKA HARAKA ENEO LA TUKIO KWA AJILI YA KUTIMIZA MAJUKUMU YAO HII NI NAFASI PEKEE MTANZANIA KUCHANGAMKIA HII ISHU KWA MAENDELEO YA TAIFA. TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA E-FM 93.7 RADIO DAR ES SALAAM



TUSHILIKIANE PAMOJA KUTOKOMEZA UNYANYASAJI WA KIJINSI KWA WANAWAKE NA WATOTO PAMOJA NA BINADAMU WOTE KWA UJUMLA..!

ZIARA YA BOSSNGASA YATIKISA STUDIO ZA E FM 93.7 RADIO, ALILIA STESHENI HIYO KUTUA DODOMA HARAKA. PICHA HIZI HAPA...!

BOSS NGASSA TOUR NDANI YA E.FM RADIO JIJINI DAR ES SALAAM, KWELI WENGINE MJIPANGE HII RADIO NI EBOLA YA JIJI, TAZAMA PICHA ZOTE HAPA


Kutokea safari yangu ya Zanzibari kurudi Dar niliweza Kupitia 93.7 EFM na  nilifanikiwa kupata nafasi ya kutembelea Office za EFM Radio ambayo imekuwa Gumzo jijini Dar es salaam, Huwezi kuamini ndio Redio pekee inayoongoza kuwa na wasikilizaji wengi kwa kipindi kichache tokea izunduliwa,
Vile vile kitu kilichonishangaza na kustajabisha na kunifanya niweze kutembelea ofisi zao, ni kwamba kwa hapa Jijini Dar kila Bajaji/Boda boda pamoja na Dala dala wamebandika Stika za EFM utadhani ndio sare zao Huku wakiwa wamefungulia Radio zao kwa sauti ya juu sana kiasi ya kwamba wapinzani wao wanaumia sana kwa jinsi EFM ilivyoteka Jiji la Dar es salaam,

Pia niliweza kukutana na mkurugenzi wa EFM  Boss Majey na kufanikiwa kuongea naye, aliweza kuongea machache ambayo ni habari njema kwa mikoani, Ni kwamba wakazi wote wa mikoani wakae tayari kwa mkao wa kula, hivi karibuni wataweza kufikia mikoa tofauti tofauti na kupata ladha mpya kabisa ya radio hiyo na sio  zile za kukariri kama baadhi ya redio ambazo hazina ubunifu, kila kukicha nyimbo ni zile zile za kina nalilii...

EFM RADIO NDIO HABARI YA MJINI

















Thursday, August 14, 2014

JESHI LA POLISI KINONDONI BADO LINAMSAKA DUDUBAYA, MKEWE APATA MUME KIBOKO Y MSANI HUYO..!

 ALIYEKUWA MKE WA DUDUBAYA MARY JEMS AKIWA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY

KAMANDA WA POLISI KINONDONI.
JESHI LA POLISI KANDA YA KINONDNI LIMEENDELE KUMTAKA MSANII DUDUBAYA KUJISALIMISHA KWA AJILI YA KUJIBU TUHUMA ZINAZOMKABIR ZA KUTISHI KUUA KWA NJIA YA MTANDO.

MJAMZITO CHUPUCHUPU KUUAWA KISA SUNGURA, ALIPIGWA MTAMA ULIOMPAISHA KIMO CHA NG'OMBE KISHA AKADONDOKEA KIUNO TIIIII CHINI. E-FM 93.7 INAKUPA LIVE TUKIO ZIMA...!









USIKOSE HABARI HII YA KUSIKITISHA NDANI YA KITUO CHAKO CHA 93.7 E-FM RADIO LEO HII TRH 14 KUANZIA SAA TISA HADI MOJA USIKU KWENYE KIPINDI CHA "UBAONI/  KIBONGOBONGO"

Monday, August 4, 2014

BAADA YA RIDHIWANI KIKWETE, WEMA SEPETU NAE AMEOMBWA KUMSAIDIA MSANII TINO MADHAHABU ANAHITAJI KUFANYIA UPASUAJI WA NYAMA ZILIZOMUOTA PUANI..!



Na Mwandishi Wetu
Mashabiki mbalimbali wa msanii Wema Sepetu wamemuomba kujitokeza kwa ajili kunusuru maisha ya msanii Tino Madhahabu anaesumbuliwa na ugonjwa pumu pamoja na kuvimba kwa nyama ndani ya pua huku hali yake ikiwa tete.
Wakiongea na Xdeejayz mashabiki hao walisema" Tunaimani kubwa na Wema Sepetu kumsaidia msanii huyo hata kwa kuanzisha harambe maalum ya kuwachangisha watu fedha ili msanii huyo aweze kufanyiwa upasuaji" Alisema Juta B ambe ameguswa sana matatizo ya msanii huyo wa muda aliyewahi kutamba kwa kwenye tv kwenye michezo ya Bongo Dar es Salaam
Aidha mashabiki hao waliongeza kusema ni heri wasanii wote wakaungana kumsaidia msanii mwenzao ili wanusuru maisha yake kuliko kusubiri hatua nyingine ambayo kwa kawaida wasanii huchaguana kwenye kamati na kuchangisha fedha.
Msanii Tino ambae  mwishoni mwa wiki iliyopita alimuangukia Mh Ridhiwan Kikwete kwa kumuomba msaada ili kunusuru maisha yake.
Msanii Tino anapatikana kwa simu namba 0767-250026 na watanzania wote watakaoguswa wajitokeze kumsaidia.