TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, November 25, 2014

MTOTO CAREEN MALIKI ANAYETIKISA DODOMA KWA POZI ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA JANA..TAZAMA YALIYOJIRI

Mtoto Carren Maliki Anayetikisa Dodoma kwa jinsi alivyokuwa Mrembo (BEAUTYFUL) siku ya jana alikuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa.Caree alipata fursa ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa furaha na upendo akiwa pamoja na wazizi wake wanayempenda kwa dhati pamoja na marafiki zake wa karibu....Careen hakupenda kuficha miaka yake kama wafanyavyo wakina Mema Sepetu,Wolper,Lulu na wengine kibao ... Careen aliweka wazi miaka yake na jana ndio ametimiza miaka miwili CONGRATULATION CAREEN.....I WISH YOU A VERY HAPPY BIRTHDAY


Careene akiwa kwenye pozi tofauti tafauti





careen akiwa na marafiki zake wakisherekea kwa pamoja

 Careen akiwa na mama yake

Ilikuwa ni furaha kubwa sana kwa Careen kukutana na marafiki zake pamoja na ndugu na kusherekea nao kwa pamoja....
Hii ndio Cake Ambayo careen aliandaliwa na Wazazi wake................

Careen akiwa na wazazi wake wakifurahi kwa pamoja





No comments:

Post a Comment