TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, October 31, 2014

MGANGA WA MASTAA NCHINI AZUSHA BALAA KUBWA KWA MASHABIKI WA WEMA SEOETU. ALLY KIBA AHUSISHWA..!


 Mganga wa Mastaa nchini pamoja na Diamond akiwa ofisini kwake.

 Na Sakina Shabani
Yule Mganga aliyejipatia jina kubwa nchini Tanzani baada miti shamba zake kuwasaidia watu wengi sana huku vigogo wa Serikali na mastaa wakimtumia kuwekea sawa mambo yao ya mafanikio amezusha balaa kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuzungumzia mabalaa yanayomkuta mwanamuziki kipenzi cha watu Diamond
.Kwa mujibu wa mtandao wa mganga huyo ambae miti shamba zake zimepelekwa nchi zilizoathirika na ugonjwa wa Ebola kwa ajili ya majaribio alisema kuwa kuanza kuporomoka kwa mwanamuziki Diamond ni dalili za mwisho wa mwanamuziki huyo kimuziki na tayari nyota yake itachukuliwa na mwanamuziki chipukizi ambae hata hivyo hakumtaja jina.
Baada ya taarifa hizo shemeji zake ambao ni mafans wa Wema walianza kumshambulia mganga huyo ambae kwa sasa yupo Jijini Dar kwa ajili ya kuwahudumia wakazi wa Jiji la Dar huku wengi wakimtukana mganga huyo.
Hata hivyo mganga huyo alipotafutwa na gazeti kupitia namba yake ya simu 0788-8444902 alipatikana na kusema" Unajua Diamond na kijana wangu na tumeshiriki kumuinua lakini kwa hali inavyoonekana tayari mwisho wa ustaa wake umefika na dhahiri shahiri mtu mwingine anakuja kukalia kiti chake" Alisema mganga huyo
Aidha mganga huyo ambae amekuwa akitumiwa sana wafanyabishara pia kusafisha mambo yao kutumia miti shamba zake, huku viongozi wa vyama na siasa nao hawaishi nyumbani kwake kupata baraka zake.
Pia anatibu magonjwa mbalimbali yaliyoshindikana kama uzazi, ganzi miguuni na mikononi, kisukari, Ukimwi kupandisha CD4 kwa wiki moja tu, kumuona mchawi live bila king'amuzi nk. Na ametoa uwito kwa wananchi kuelendelea kuitumia nafasi hiyo kabla hajaondoka msimu huu wa mwisho wa mwaka

No comments:

Post a Comment