TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, April 17, 2014

RADIO MPYA YASABABISHA JAMAA KUPISHWA KITUO KISA MIX ZA KUFA MTUA ANGALIA TUKIO HILI LA KWELI LEO MACHANA!

 HAYA NDIYO MASAFA YA RADIO HIYO INAYOPATIKANA HEWANI MASAA 24 KWA SASA.
Moja ya daladala za Jijini Dar ambazo kwa zimeshtukia mchongo wa kuweka radio mpya inayopatikana 93.7 FM ambayo inapiga ngoma za ukweli mwanzo mwisho. 
Na Mwandishi Wetu
Ngoma kali zinazopigwa ndani ya kituo kipya cha radio 93.7 Fm Dar wiki hii kimezusha balaa kufuatia abiria mmoja kupitiliza kituo alichokuwa anashuka kisa muziki kumchanganya.
Tukio hilo lililotokea  maeneo ya Keko ambako daladala lenye namba za usajiri T298 ASY lililokuwa linatoka Tandika kwenda Kivukoni ambapo abiria huyo alikuwa anashuka Usalama lakini amejikuta akishuka keko na baadae kudai nauli kwa konda amrudishie kwa kupitishwa kituo.
Hata hadi paparazi wetu anaondoka eneo la tukio iliacha timbwili hilo likifukuta na haifahamiki ilikuwaje.

No comments:

Post a Comment