TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, September 20, 2013

UFUSKA WA MANAIKI SANGA “THE DON” WAFANYIWA FILAMU, AWASHIRIKISHA WASICHANA WOTE ALIOPIGA NAO PICHA ZA UTUPU, WAMO MASTAA WA BONGO MUVIE, ISHU YA MUHOGO WA JANG’OMBE NA MAMA WA KIZUNGU YAMLETEA MATATIZO MAKUBWA VIDEO HII HAPA ITIZAME!

JIANDAE KUSOMA GAZETI LAKO JIPYA  KWENYE ULIMWENGU WA HABARI ZA KILA AINA NI GAZETI LA MASKANI BONGO JIANDAE KUPATA HABARI ZILIZOTAUTI NDANI YA  "MASKANI BONGO" NI GAZETI PENDWA LITAKALOKUJIA MARA MOJA KWA WIKI...STAY TUNED!!!!


HII NDIO VIDEO YA FILAMU YA UFUSKA YA MANAIKI SANGA "THE DON" AMBAYO AMEIITA  JINA LA "NGEMA" AMBAYO PIA INAPATIKANA KWENYE MTANDAO WA YOU TUBE KWA JINA LA "UFUSKA WA MANAIKI SANGA"






Hatariiiiiiiiiii hii ndio filamu ya NGEMA 


































A
Mwanadada Asnati Msangi ambae ni msanii undergroud wa Bongo Muvie ambae kwa sasa yuko kwenye himaya ya The don Manaiki Sanga!


 
Msanii Manaiki Sanga"the done" akiwa na mtoto wa mke  nne wa Rais wa awamu ya kwanza Zanzibar Abed Karume aitwae Dida. ambae ni mshindi wa shindano la Bibi Bomba mwaka jana.
 
Bless Zacharia ambae ni 1 wa washiriki wa filamu hiyo


 Msanii Manaiki Sanga"the done" akiwa na mwanafunzi wa cho kimoja maarufu Jijini Dar siku



Hapa sin ikiwa imepamba moto mmh.......

Hapa wakifurahia kitu......
Annastazia na The Don Manaiki Sanga wakiwa kwenye picha ya pamoja!

 
 
Msichana Annastazia Mungani "24" kama inavyoonekana akiwa mtupu nasijui picha hii iko kwenye Filamu ya Ngema ama laa!

Kufuri la Irine Kanka ambae inadaiwa walipiga picha hizo baada ya kumaliza tendo la ndo na Manaiki Sanga kwenye Hotel ya msanii huyo iliyopo katikati ya mji Jijini Dar!

Msichana raia wa Uganda ambae anasoma chuo kimoja maarufu Jijini Dar akiwa mwenye hisia na haikufahamika kama walikuwa wanaigiza filamu au!!!
Irine Kanka Miss Temeke ambae nae anadaiwa kucheza filamu hiyo, ambapo mrembo huyo na Manaiki sasa hivi wanaishi kama mke na mume maeneo ya Kinondoni Makaburini!






The done kama anavyoonekana na mrembo wakiigiza filamu hiyo, ambapo hata hivyo kwenye Clip ya video hiyo haioneshi ufuska.











Na Sakina Shabani


Katika hali ya kushtua msanii chipukizi Manaiki Sanga “The Don” aliyejipatia umaarufu mkubwa nchini na duniani baada ya picha zake za utupu akiwa na wanawake zaidi ya 400 wakiwemo wazungu akifanya nao ngono nzembe na baadae kusambaa kwenye mitandao yote duniani na kuonwa na mamilioni ya watu hasa wale wanaopata habari kupitia mitandao ya kijamii, sasa ameamua kutengenezea filamu halisi ya matukio hayo akiwa na wanawake walewale aliofanya nao ngono.

Xdeejayz baada ya kupata taarifa kuwa kuna filamu ya namna hiyo ilifanya juhudi za ziada hadi kufanikiwa kupata clip ya filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Farasi Entertainment yenye makao yake makuu Mwananyamala Jijini Dar ambapo Clip hiyo inawaonesha mastaa mbalimbali toka kiwanda cha bongo muvi wakiwa wameshirikishwa.

Habari zaidi toka kwa mtu wa karibu na Manaiki zilisema kuwa filamu hiyo iligharimu zaidi ya shilingi milioni 23 ambapo sehemu kubwa ya filamu hiyo ameifanyia Mkoani Arusha kwenye hotel moja ya kitalii huku gharama kubwa zikiwa zimetumika kuwalipa mastaa walioshirikishwa kwenye filamu hiyo aliyoipa jina la Ngema.

Mastaa walioshiriki kwenye  filamu hiyo ni Riyama Ally, Suleiman Barafu,Slim Omary, Neema Ndepanya, Prince Kas, Muhamed Fungafunga “Jengua” na mtoto mdogo aliyefahamika kwa jina la Ivan Fred huku ikiongozwa na Rashidi Ngayama “Pete”. Na wasanii wengine ni  Arapha Thabit, Sabrina Minja,Faiza Omary, Jackline Richard na Neema Reymer, Bless Zacharia.

Hata hivyo Xdeejayz ilipata baadhi ya majina ya warembo hao huku wengine hawakuweza kutambulika majina yao. Aidha filamu hiyo ambayo tayari inadaiwa imeshatua mezani kwa kampuni zinazohusika na uzambazaji nchini ambazo ni Steps,Sprash, Leo Media, Pilipili Entertainment na tayari imeonekana kukubarika na kuwavutia wadosi huenda siku si nyingi itapatikana mtaani.

Wadau mbalimbali wamesema filamu hiyo inayoitwa Ngema ambayo baadhi ya vipande vinafaa kutizamwa na watu wazima tu huenda itazidi kumpa umaarufu mkubwa msanii huyo kutokana na mashabiki wengi kuwa na hamu ya kutaka kuitizama na inategeme kuwa watu wengi wamekuwa wakisumbua vichwa vyao kutaka kujuwa kazi alizofanya Manaiki hadi kupelekea kujizolea umaarufu hapa mjini.

Aidha katika hatua nyingine kuna habari kuwa msanii huyo tangu picha zake kuvuja hasa picha yake inayomuonesha akijivinjari ya Bibi wa kizungu toka  Ujerumani kitandani huku akionekana kuwa na Muhogo wa Jang’ombe wa haja hali imekuwa mbaya kwake kwani mabinti mbalimbali wakiwemo wanawake za watu wamekuwa wakimpigia vikombo kumtafuta ili awepe burudani  hadi kupelekea kubadili namba ya simu yake kuepuka usumbufu.

4 comments:

  1. foolish & rabbsh he try to force to be femous fuck you the don

    ReplyDelete
  2. Mmmhhh!Ina maana ameshindwa kufikiria vitu/miradi ya maana ya kimaendeleo ya kufanya hadi kuingia kwenye upuuzi kama huo; dizaini ya sometimes yes sometimes no=mwezi mchanga.

    ReplyDelete